Kenya yaongeza mshahara wa kima cha chini kwa asilimia 18

Kwenye sherehe ya siku ya wafanyakazi iliyofanyika Nairobi, rais Kenyatta amesema ongezeko hilo linalenga kupunguza matatizo yanayowakabili watu wa tabaka la chini nchini humo.
Rais Kenyatta pia ametoa amri ya kuongeza bonasi isiyotozwa kodi na malipo ya muda wa ziada hadi kufikia dola elfu 1 za kimarekani, ili kuwasaidia watu wenye mapato ya chini.
No comments